MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2014

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 29, 2014 hadi Februari 1, 2015.

Ufufuo wa Yesu—Kwa Nini Ni Muhimu Kwetu?

Kuna sababu nne zinazotoa uthitibisho wenye kusadikisha kwamba Yesu alifufuliwa. Kuamini kuwa yuko hai kunapaswa kutuchocheaje?

Kwa Nini Ni Lazima Tuwe Watakatifu?

Je, umewahi kutatanishwa au kuchoshwa na kitabu cha Biblia cha Mambo ya Walawi? Hazina za kiroho kutoka katika kitabu cha Mambo ya Walawi zinaweza kukusaidia kuwa mtakatifu katika ibada yako.

Ni Lazima Tuwe Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote

Kuna uhusiano gani kati ya kutolegeza msimamo wetu, kumpa Yehova kilicho bora zaidi, na kula chakula kigumu?

“Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova”

Je, Mungu anawakubali wote wanaomwabudu kwa unyoofu, haidhuru dini yao?

“Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”

Tunawezaje kuendelea kuwa “watu wa Mungu”?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Wazee na watumishi wa huduma huwekwaje rasmi katika kila kutaniko? Ni nani wale mashahidi wawili wanaotajwa katika Ufunuo sura ya 11?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Kweli Yaangaza Katika Nchi ya Macheo ya Jua

Magari yaliyotengenezwa kwa njia ya pekee yaliyoitwa “Yehu” yalisaidia katika kazi ya kuhubiri nchini Japani