Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004
Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004
Ikionyesha tarehe ya toleo ambalo makala inapatikana
BIBLIA
Hazina ya Chester Beatty, 9/15
Mambo Makuu Katika Hesabu, 8/1
Mambo Makuu Katika Kumbukumbu la Torati, 9/15
Mambo Makuu Katika Kutoka, 3/15
Mambo Makuu Katika Mambo ya Walawi, 5/15
Mambo Makuu Katika Yoshua, 12/1
Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—I, 1/1
Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—II, 1/15
‘Msafiri Jasiri wa Kueneza Injili’ (G. Barrow), 8/15
Tafsiri “Nzuri Sana” (Tafsiri ya Ulimwengu Mpya), 12/1
Tafsiri ya Complutensian Polyglot, 4/15
KALENDA
“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15
‘Majira ya Kiangazi na Majira ya Baridi Kali Hayatakoma Kamwe,’ 7/15
“Mali Nyingi ya Bahari,” 9/15
“Miti ya Yehova Imeshiba,” 1/15
‘Mito Ipige Makofi,’ 5/15
“Una Utukufu Kuliko Milima,” 3/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Abrahamu na Sara—Iga Imani! 5/15
Faraja kwa Wanaoteseka, 2/15
Hali Hutawala Maisha Yako? 6/1
“Hema la Wanyoofu Litasitawi” (Met 14), 11/15
Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Mungu, 3/1
Kukabiliana na Shaka, 2/1
Kukazia Fikira ile Thawabu, 4/1
Kulea Watoto, 6/15
Kushughulika na Kivunja-Moyo, 9/1
Miradi ya Kiroho, 7/15
Mlo wa Jioni wa Bwana, 3/15
Msimamo wa Kutokuwamo Huzuia Upendo? 5/1
Mtazamo wa Kungojea, 10/1
‘Mtu Aliye Mwerevu Atatenda kwa Ujuzi’ (Met 13), 7/15
“Pigana Pigano Zuri la Imani,” 2/15
Urithi Unaopaswa Kuachiwa Watoto, 9/1
Vijana—Acheni Wazazi Wawasaidie Kulinda Mioyo! 10/15
Yaliyo Sawa na Yaliyo Makosa—Utaamuaje? 12/1
MAKALA ZA MAFUNZO
“Agizo la Yehova” Haliwezi Kushindwa, 7/15
“Bwana, Tufundishe Jinsi ya Kusali” (Sala ya Kielelezo), 2/1
Dumisha Usafi wa Kiadili kwa Kuulinda Moyo Wako, 2/15
“Endeleeni Kujipatia Nguvu Katika Bwana,” 9/15
“Fanya Kazi ya Mweneza-Injili,” 3/15
Hukumu ya Yehova Juu ya Waovu, 11/15
“Iweni na Upendo Mwororo kwa Mtu na Mwenzake,” 10/1
Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso? 10/15
Jihadhari na “Sauti ya Wageni,” 9/1
Jihadhari na Udanganyifu, 2/15
Kuchoka Lakini Si Kuchoka Kabisa, 8/15
Kujitahidi Kuonyesha Fadhili Katika Ulimwengu Wenye Uadui, 4/15
Kukubali Msaada wa Yehova? 12/15
Kusitawisha Maoni ya Kristo Kuhusu Umashuhuri, 8/1
Lazima Watu wa Mungu Wapende Fadhili, 4/15
Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Kileo, 12/1
“Mavazi Kamili ya Silaha Kutoka kwa Mungu,” 9/15
Mtafuteni Yehova, Mchunguzaji wa Mioyo, 11/15
Mtukuzeni Mungu “kwa Kinywa Kimoja,” 9/1
‘Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi! 3/1
“Mtumwa” Ambaye Ni Mwaminifu na Mwenye Busara, 3/1
‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi,’ 7/1
Ni Daraka la Kikristo Kuwatunza Walio Wazee, 5/15
Ni Nani Wanaomtukuza Mungu Leo? 10/1
Ni Wenye Furaha Ingawa Wanateswa, 11/1
“Ondoka, Zunguka Katika Nchi,” 10/15
Ongozwa na Mungu Aliye Hai, 6/15
Pingeni Roho ya Ulimwengu Unaobadilika, 4/1
“Sauti Yao Ilifika Katika Dunia Yote,” 1/1
Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri, 11/15
‘Tamasha ya Ulimwengu Inabadilika,’ 2/1
Tegemea Roho ya Mungu Unaposhughulika na Mabadiliko ya Maisha, 4/1
Tembea Katika Njia ya Utimilifu, 12/1
Thamini Ifaavyo Zawadi ya Uhai, 6/15
Tianeni Nguvu, 5/1
“Timiza kwa Ukamili Huduma Yako,” 3/15
Ukuu wa Yehova Hauchunguziki, 1/15
Unapendezwa na “Sheria ya Yehova”? 7/15
Uumbaji Hutangaza Utukufu wa Mungu! 6/1
Uwe Jasiri Kama Yeremia, 5/1
Vijana, Je, Mnajitayarisha kwa Ajili ya Wakati Ujao? 5/1
‘Wafundisheni Kushika Mambo Yote Ambayo Nimewaamuru Ninyi,’ 7/1
Walio Wazee Ni Washiriki Wenye Thamani wa Undugu Wetu, 5/15
Wanachukiwa Bila Sababu, 8/15
Wanaomtukuza Mungu Hubarikiwa, 6/1
Watumishi wa Yehova Wenye Furaha, 11/1
Wote na Wautangaze Utukufu wa Yehova, 1/1
Yehova Huandaa Mahitaji ya Kila Siku (Sala ya Kielelezo), 2/1
Yehova Huwafunulia Wanyenyekevu Utukufu Wake, 8/1
Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu, 1/15
Yehova Ni Msaidizi Wetu, 12/15
Yehova, ‘Ngome Yetu Wakati wa Taabu,’ 8/15
MAMBO MENGINE
666—Si Fumbo Tu, 4/1
Barua kwa Noa, 7/1
Dini Ndiyo Chanzo cha Matatizo? 2/15
Ehudi, 3/15
Furaha, 9/1
Hali ya Kiroho na Hali Njema, 2/1
Ibada ya Kweli na Upagani Ilitofautiana (Efeso), 12/15
Je, Makanisa Yanaweza Kuokolewa? 3/1
Je, Makasisi Wanapaswa Kujiingiza Katika Siasa? 5/1
Kanuni za Kiroho, 10/15
Kapadokia, 7/15
Kupata Shauri Lenye Manufaa, 8/15
“Kweli Itawaweka Ninyi Huru,” 3/1
Mahitaji ya Kiroho, 2/1
Michezo ya Zamani, 5/1
Mkataba wa Amani wa Westphalia, 3/15
Mnyama-Mwitu na Alama, 4/1
“Mojawapo ya Kazi Kuu Zaidi za Uhandisi” (Bahari ya Kuyeyushwa), 1/15
“Mungu wa Kweli na Uzima wa Milele” (1Yo 5:20), 10/15
Ni Lazima Uwe Mfuasi wa Kanisa Fulani? 6/1
Ni Nini Hufanya Maisha Yawe na Kusudi Halisi? 8/1
Rebeka, 4/15
Sala ya Bwana, 9/15
Sala Zinaweza Kubadili Hali? 6/15
Serikali Nzuri, 8/1
Serikali ya Ufalme Ni Halisi, 8/1
Tumaini la Amani, 1/1
Tusali kwa Malaika Watusaidie? 4/1
Unataka Kuishi Milele? 11/15
Unaweza Kutumaini Ahadi za Nani? 1/15
Viongozi Wazuri, 11/1
Visagio Vilivyofanya Chakula Kipatikane, 9/15
‘Walisafiri kwa Mashua Kwenda Kipro,’ 7/1
Wanabaptisti, 6/15
Watumishi wa Mungu Wanafanana na Miti, 3/1
“Wenye Upole Watairithi Nchi,” 10/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
‘Alitufundisha Kuheshimu Dini Yake’ (Italia), 6/15
Aliwaeleza Wanadarasa Wenzake Imani Yake (Poland), 10/1
Barua Kutoka kwa Alejandra (Mexico), 10/1
Dhamiri Nyoofu (simu ya mkononi iliyorudishwa), 2/1
Furaha Inayotokana na Kutoa (michango), 11/1
Kisiwa cha Tonga, 12/15
Kucheza Si Kupisha Wakati Tu, (watoto), 10/1
Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15
Kukusanyika Kwenye “Kitovu cha Ulimwengu” (Kisiwa cha Easter), 2/15
Kusitawi, 3/1
Kutenda Mema Nyakati za Uhitaji, 6/1
Kuwahubiria Watu Mahali Pao pa Kazi, 4/1
Liberia, 4/1
Mahubiri Yasiyo Rasmi Katika Eneo Wanakozungumza Kiingereza Huko Mexico, 4/15
“Mtukuze Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 1/15
“Tembea Pamoja na Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 3/1
‘Vuka Uingie Utusaidie’ (Bolivia), 6/1
“Waathiriwa Waliosahauliwa” Wakumbukwa, 9/1
Washikamanifu na Imara (Poland), 10/15
Wenyeji wa Mexico, 8/15
MASIMULIZI YA MAISHA
Elimu Iliendelea Maisha Yote (H. Gluyas), 10/1
Ingawa Nilikuwa Kipofu, Niliweza Kuona! (E. Hauser), 5/1
Kujidhabihu Katika Mambo Madogo, Kubarikiwa Sana (G. na A. Aljian), 4/1
Kupata Fadhili Zenye Upendo za Yehova (F. King), 2/1
Kutumaini Utunzaji Wenye Upendo wa Yehova (A. Denz Turpin), 12/1
Magereza Yenye Giza Hadi Milima ya Alps ya Uswisi (L. Walther), 6/1
Maisha Yenye Kuridhisha Licha ya Maumivu ya Moyoni (A. Hyde), 7/1
Maisha Yenye Kuridhisha ya Kujidhabihu kwa Kupenda (M. na R. Szumiga), 9/1
Nimebarikiwa Sana kwa Roho ya Umishonari (T. Cooke), 1/1
Tulitegemea Nguvu za Yehova (E. Haffner), 8/1
Uamuzi Thabiti wa Kuunga Mkono Utawala wa Mungu (M. Žobrák), 11/1
Uradhi wa Kimungu Ulinitegemeza (I. Osueke), 3/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
144,000 ni halisi? 9/1
Hanameli angewezaje kumuuzia Yeremia shamba? (Yer 32:7), 3/1
Kilichoonyeshwa kimbele na Yubile, 7/15
‘Kopesha, bila kutumainia kurudishiwa chochote’ (Lu 6:35), 10/15
Kwa nini Mikali alikuwa na terafimu? (1 Sam 19:13), 6/1
Kwa nini wanaume Waisraeli wangeweza kuoa mateka, 9/15
Kwa nini Yesu alimruhusu Tomasi bali si Maria Magdalene amguse 12/1
Kwa nini Yuda alifanya ngono na mwanamke ambaye alifikiri ni kahaba? (Mwa 38:15), 1/15
Ni nini kilichotokea, ni nani aliyekuwa hatarini? (Kut 4:24-26), 3/15
Ni Waisraeli 23,000 au 24,000 walioanguka? (1Ko 10:8; Hes 25:9), 4//1
Njiwa alipata wapi jani la mzeituni? (Mwa 8:11), 2/15
Paulo alivunjikiwa meli huko Malta? 8/15
Roho waovu wakati wa Miaka Elfu, 11/15
‘Shetani akiwa tayari ameanguka kutoka mbinguni’ (Lu 10:18), 8/1
Sindano na ngamia halisi? (Mt 19:24; Mr 10:25; Lu 18:25), 5/15
Tunawezaje kuihuzunisha roho takatifu? (Efe 4:30), 5/15
Ulafi, 11/1
“Upendo Mkamilifu” (1 Yo 4:18), 10/1
Visehemu vya damu, 6/15
“Wasio Waamini” (2Ko 6:14), 7/1
YEHOVA
Anakujali, 7/1
Anatujali? 1/1
“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15
Kumfanya Mungu Ashangilie? 5/15
‘Mapenzi Yako Yafanywe Duniani,’ 4/15
Unyenyekevu, 11/1
YESU KRISTO
Kuzaliwa Kunakokumbukwa, 12/15
Miujiza—Je, Kweli Ilitukia? 7/15