MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 29 hadi Septemba 25, 2016.

Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Ghana

Kuna changamoto na thawabu nyingi kwa wale wanaochagua kutumikia mahali penye uhitaji mkubwa wa wahubiri wa Ufalme.

Tafuta Ufalme, Si Vitu

Yesu anaeleza kwa nini tunapaswa kujidhibiti tusitamani vitu vya kimwili.

Kwa Nini Tunapaswa ‘Kuendelea Kukesha’?

Tusipokuwa waangalifu, kuna mambo matatu yanayoweza kudhoofisha azimio letu la kuendelea kukesha.

“Usiogope. Mimi Mwenyewe Nitakusaidia”

Yehova amethibitisha kwamba yeye ni rafiki mwaminifu wakati wa mahangaiko na matatizo.

Tunathamini Kupokea Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu

Ni wonyesho gani mkubwa zaidi wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu kuelekea wanadamu?

Eneza Habari Njema za Fadhili Zisizostahiliwa

‘Habari njema ya Ufalme’ inaonyeshaje fadhili zisizostahiliwa za Mungu?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Ni nini maana ya kuunganisha vijiti viwili vinavyotajwa katika Ezekieli sura ya 37?