MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2016
Toleo hili lina makala za funzo za Januari 30 hadi Februari 26, 2017.
SIMULIZI LA MAISHA
Nimekuwa “Mambo Yote kwa Watu wa Namna Zote”
igawo mingi ambayo Denton Hopkinson amekuwa nayo kwa miaka mingi imemsaidia kuona jinsi Yehova anavyowapenda watu wa namna zote.
Mmewekwa Huru kwa Fadhili Zisizostahiliwa
Unaweza kunufaika sana kwa kuchunguza jinsi Yehova alivyokuweka huru kutokana na dhambi.
“Kukaza Akili Juu ya Roho Humaanisha Uzima na Amani”
Waroma sura ya 8 ina shauri linaloweza kukusaidia kupata thawabu ambayo Yehova anawatolea wanadamu wote.
Je, Unakumbuka?
Je, umesoma matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi? Ona ni maswali mangapi unayoweza kujibu.
Mtupie Yehova Mahangaiko Yako Yote
Nyakati nyingine, watumishi wa Mungu hupatwa na mahangaiko. Kuna hatua nne zinazoweza kukusaidia kupata “amani ya Mungu.”
Yehova Huwathawabisha Wale Wanaomtafuta kwa Bidii
Ahadi ya Yehova ya kututhawabisha inatunufaisha jinsi gani? Amewathawabishaje watumishi wake wa nyakati za kale na anafanya hivyo jinsi gani sasa?
Tabia Pole Ndiyo Njia ya Hekima
Si rahisi kuendelea kuwa mtulivu unapotendewa isivyo haki, hata hivyo Biblia inawatia moyo Wakristo wawe na tabia pole. Ni nini kinachoweza kukusaidia kusitawisha sifa hii kutoka kwa Mungu?
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2016
Orodha ya makala zilizochapishwa kwenye matoleo ya watu wote na ya funzo.