Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ILITUKIA WAPI?

1. Tukio linaloonyeshwa katika picha hii lilitukia wapi?

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Bahari Kuu

Bahari ya Galilaya

Mto Yordani

Bahari ya Chumvi

◆ Unaweza kutaja watu wawili ambao hawako katika mashua.

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Kwa nini ni mtu mmoja tu anayezama?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ILITUKIA LINI?

Chora mstari kuunganisha picha na tarehe sahihi.

1077 K.W.K. 947 K.W.K. 647 K.W.K. 537 K.W.K. 539 K.W.K.

2. Danieli 5:5

3. Yeremia 1:1-3

4. 2 Samweli 2:1-4

MIMI NI NANI?

5. Niliwaua Wafilisti 600 kwa mchokoo wa ng’ombe.

MIMI NI NANI?

6. Nilikula asali na kuvunja kiapo ambacho baba yangu alikula.

KUTOKA KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya, na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 7 Kwa nini watu hufa? (Waroma 6:․․․)

Ukurasa wa 9 Biblia inaahidi wakati ujao wa aina gani? (Ufunuo 21:․․․)

Ukurasa wa 12 Ni nini kinachoweza kumfanya mtu atende bila kufikiri? (Mhubiri 7:․․․)

Ukurasa wa 19 Tunapaswa kutafuta mwongozo wapi, na kwa nini? (2 Timotheo 3:․․․)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu katika ukurasa wa 14)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Bahari ya Galilaya.—Yohana 6:1, 16.

◆ Yesu na Petro.—Mathayo 14:26-31.

◆ Petro alikuwa na shaka; Yesu hakuwa na shaka.—Mathayo 14:31.

2. 539 K.W.K.

3. 647 K.W.K.

4. 1077 K.W.K.

5. Shamgari.—Waamuzi 3:31.

6. Yonathani.—1 Samweli 14:27.

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 31]

Top circle: U.S. Fish & Wildlife Service, Washington, D.C./Duane C. Anderson