Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

AMKENI! Na. 2 2017 | Ni Nini Chanzo Cha Mambo ya Uchawi?

Leo, sinema na vipindi vingi vya televisheni huhusisha wahusika wenye nguvu zisizo za kawaida, kama vile wachawi na wanyonya damu.

Wewe una maoni gani? Je, hiyo ni burudani isiyokuwa na madhara?

Toleo hili la “Amkeni!” linazungumzia kwa nini watu wanavutiwa na mambo ya uchawi, na pia linaeleza chanzo chake.

 

HABARI KUU

Kuvutiwa na Mambo ya Uchawi!

Watu wengi wanavutiwa na habari zinazohusu wachawi, wanyonya damu, watu wenye roho waovu, na mizuka. Kwa nini mambo hayo huwavutia?

HABARI KUU

Biblia Inafundisha Nini Kuhusu Kuwasiliana na Pepo?

Ingawa watu wengi hawana uhakika kuhusu mambo ya uchawi, Biblia inaonya waziwazi kuhusu mambo hayo. Maandiko yanasema nini, na kwa nini?

JE, NI KAZI YA UBUNI?

Mbinu ya Nyuki ya Kutua

Kwa nini mbinu ya kutua ya nyuki inafaa kutumiwa katika mfumo wa kuongoza roboti zinazoruka angani?

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Mzazi Anapokufa

Kufiwa na mzazi ni jambo lenye kuhuzunisha sana. Ni nini kinachoweza kuwasaidia vijana kukabiliana na huzuni hiyo?

Watoto Wanavyoweza Kukabiliana na Huzuni

Biblia iliwasaidiaje vijana watatu kukabiliana na kifo cha mtu wa familia?

NCHI NA WATU

Kutembelea Hispania

Hispania ni nchi yenye watu wa jamii mbalimbali na mandhari tofauti-tofauti. Hispania huzalisha aina fulani ya mafuta kwa wingi kuliko nchi nyingine yoyote duniani.

MAONI YA BIBLIA

Msalaba

Watu wengi huona msalaba kuwa alama ya kutambulisha Ukristo. Je, Yesu alikufa msalabani? Je, wanafunzi wa Yesu walitumia msalaba katika ibada?

Je, Ungependa Kuielewa Biblia?

Ona mambo unayohitaji na yale ambayo si lazima uwe nayo ili uelewe ujumbe wa Biblia.

Habari Zaidi Mtandaoni

Naweza Kukabilianaje na Msiba?

Vijana wanaeleza kilichowasaidia kukabiliana na msiba.

Je, Kweli Kuna Mapepo?

Mapepo ni akina nani? Wanatokea wapi?