DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA

Yehova Aliwapigania Waisraeli

Kiswahili
Yehova Aliwapigania Waisraeli
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/202021335/univ/art/202021335_univ_sqr_xl.jpg
mwb21 Septemba uku. 10

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Aliwapigania Waisraeli

Yehova Aliwapigania Waisraeli

Wafalme watano waliungana dhidi ya Wagibeoni na Waisraeli (Yos 10:5; it-1 50)

Yehova alipigana dhidi ya wafalme hao walioungana (Yos 10:10, 11; it-1 1020)

Yehova alifanya jua lisimame tuli (Yos 10:12-14; w04 12/1 11 ¶1)

Tunapokabili mateso, tunamtegemea Yehova ili tuendelee kuwa waaminifu. Tunajua kwamba kwa msaada wake, hakuna serikali ya wanadamu inayoweza kutuzuia tusimwabudu.