Mei 11-17
ISAYA 60-61
Wimbo 146 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. “Inuka, Ee Mwanamke, Angaza Nuru”
(Dak. 10)
Mwanamke anayetajwa katika Isaya 60:1 anawakilisha Yerusalemu la kale (Isa 60:1, 2; w24.07 30 ¶1-2)
Unabii wa kurudishwa unaotajwa katika Isaya sura ya 60 ulitimizwa kwa sehemu tu katika Yerusalemu (w24.07 30 ¶3-4)
Unabii huo unatimizwa kwa njia kubwa zaidi inapohusu “Yerusalemu la juu” (Gal 4:26; w24.07 30 ¶5–31 ¶2)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Isa 61:1—Yesu alitimizaje unabii huu? (Lu 4:18-21; w19.12 11 ¶10-11)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Isa 61:1-9 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mfundishe mtu huyo jina la Mungu. (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)
5. Kufuatia Upendezi
(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Katika ziara iliyotangulia, mtu huyo alikuambia kwamba alifiwa na mpendwa wake hivi karibuni. (lmd somo la 4 jambo kuu la 4)
6. Kufanya Wanafunzi
Wimbo 156
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 84-85

