Mei 26–Juni 1
METHALI 15
Wimbo 102 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Wasaidie Wengine Wawe na Moyo Mchangamfu
(Dak. 10)
Ndugu zetu wanapokabili majaribu makali, wanaweza kuhisi kwamba siku zao zote zilikuwa mbaya (Met 15:15)
Waonyeshe ukarimu wale wanaokabili hali ngumu (Met 15:17; w10 11/15 31 ¶16)
“Kumtupia mtu jicho kwa uchangamfu” na maneno machache yenye kutia moyo, kunaweza kumfariji sana (Met 15:23, 30, maelezo ya chini; w18.04 23-24 ¶16-18)
JIULIZE: ‘Ni nani katika kutaniko letu ambaye huenda anahitaji kutiwa moyo? Ninawezaje kumsaidia?’
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Met 15:22—Kanuni hii ya Biblia inawezaje kutusaidia kufanya maamuzi mazuri kuhusu matibabu? (ijwbq makala ya 39 ¶3)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Met 15:1-21 (th somo la 2)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)
5. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Anzisha funzo la Biblia. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)
6. Kufanya Wanafunzi
(Dak. 5) Mtie moyo mwanafunzi wa Biblia anayekabili upinzani kutoka kwa watu wa familia. (th somo la 4)
Wimbo 155
7. Tunaweza Kuwa na Moyo Mchangamfu Licha ya Majaribu
(Dak. 15) Mazungumzo.
Onyesha VIDEO Tunaweza Kuwa na Shangwe Licha ya Upanga, Kuwa na Njaa, na kuwa Uchi. Kisha waulize wasikilizaji:
Unajifunza nini kutokana na masimulizi haya?
8. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 27 ¶1-9