Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Juni 2-8

METHALI 16

Juni 2-8

Wimbo 36 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Maswali Matatu Yanayoongoza Kwenye Maamuzi Mazuri

(Dak. 10)

Je, ninatumaini mwongozo wa Yehova? (Met 16:​3, 20; w14 1/15 19-20 ¶11-12)

Je, uamuzi wangu utamfurahisha Yehova? (Met 16:7)

Je, mimi huathiriwa sana na mambo ambayo wengine husema au kufanya? (Met 16:25; w13 9/15 17 ¶1-3)

JIULIZE, ‘Maswali haya yanaweza kunisaidiaje kufanya maamuzi mazuri inapohusu mavazi na kujipamba?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 16:22—Ni katika njia gani wajinga “hutiwa nidhamu kwa ujinga wao wenyewe”? (it-1 629)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mwonyeshe mtu jinsi anavyoweza kunufaika kwa kutumia jw.org. (lmd somo la 2 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwalike mtu ambaye alikataa kujifunza Biblia zamani aanze kujifunza. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)

6. Hotuba

(Dak. 5) ijwbv makala ya 40—Kichwa: Ni Nini Maana ya Methali 16:3? (th somo la 8)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 32

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 68 na Sala