MAISHA YA MKRISTO
Yehova Hawezi Kusahau Upendo Wako
TAZAMENI VIDEO YEHOVA HAWEZI KUSAHAU UPENDO WAKO, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:
-
Ni matatizo gani yanayotokea uzeeni?
-
Ni sifa gani nzuri ambayo hujitokeza uzeeni?
-
Ikiwa wewe ni mzee, Mambo ya Walawi 19:32 na Methali 16:31 zinaweza kukutia moyo jinsi gani?
-
Yehova anawaonaje watumishi wake waliozeeka ambao hawawezi kutimiza mengi katika huduma?
-
Yehova anataka tufanye nini hata tunapozeeka?
-
Wazee wanawezaje kuwatia moyo vijana?
-
Ndugu au dada mzee alikutia moyo jinsi gani hivi karibuni?

