Kiswahili
Ratiba ya Julai 13-19, 2020 ya Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png
mwb20 Julai uku. 3

Julai 13-19

KUTOKA 8-9

Julai 13-19
  •  Wimbo 12 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Farao Mwenye Kiburi Atumiwa Kutimiza Kusudi la Mungu”: (Dak. 10)

    • Kut 8:15—Farao aliufanya moyo wake kuwa mgumu na akakataa kumsikiliza Musa na Haruni (it-2 1040-1041)

    • Kut 8:18, 19—Farao alikataa kuwasikiliza Musa na Haruni hata ingawa makuhani wake wachawi walikubali kuwa wameshindwa

    • Kut 9:15-17—Yehova alitukuza jina lake mwenyewe kwa kutomwangamiza Farao mara moja (it-2 1181 ¶3-5)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 8:21—Nzi waliotumiwa katika pigo hili walikuwa wa aina gani? (it-1 878)

    • Kut 8:25-27—Kwa nini Musa alisema kwamba dhabihu za Waisraeli “zingewachukiza Wamisri”? (w04 3/15 25 ¶9)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 8:1-19 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO