DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Desemba 2017
Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
Mapendekezo ya utumishi ya gazeti la Amkeni! na ya kufundisha kweli kuhusu kifo. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mtafute Yehova Kabla ya Siku Yake ya Hasira
Ili Yehova Mungu atufiche katika siku yake ya hasira, tunapaswa kutii mwelekezo wa Sefania.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Shika Upindo wa Nguo ya Mtu Aliye Myahudi”
Watu wa mataifa yote wanamiminika kumwabudu Yehova pamoja na Wakristo watiwa-mafuta. Tunaweza kuwategemeza watiwa-mafuta katika njia zipi?
MAISHA YA MKRISTO
Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kumfikia Kila Mtu Katika Eneo Letu
Tunatafuta nafasi za kumhubiria kila mtu katika eneo letu. Tunaweza kufanya hivyo jinsi gani?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Kaa Katika “Bonde la Milima”
“Bonde la Milima” linawakilisha nini? Watu ‘wanakimbiliaje bonde’ hilo na kukaa humo?
MAISHA YA MKRISTO
Sehemu Mpya ya Mkutano wa Katikati ya Juma
Tumia habari za utafiti, picha, na video kuboresha jinsi unavyotayarisha mikutano na kumkaribia Yehova hata zaidi.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Je, Ndoa Yako Inampendeza Yehova?
Katika siku za Malaki, Yehova hakukubali ibada ya wale ambao waliwatendea wenzi wao kwa hila. Wenzi wa ndoa leo wanaweza kudumishaje ushikamanifu wao?
MAISHA YA MKRISTO
Upendo wa Kweli Ni Nini?
Yehova anataka ndoa iwe muungano wa kudumu. Ameandaa kanuni za kuwasaidia Wakristo kuchagua mwenzi kwa hekima na kudumisha ndoa yenye furaha.

