HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 15-16
Msifu Yehova kwa Wimbo
Muziki unaweza kuathiri sana jinsi tunavyofikiri na kuhisi. Kuimba ni sehemu muhimu ya ibada yetu kwa Yehova.
-
Musa na Waisraeli walimwimbia Yehova sifa alipowakomboa kimuujiza kwenye Bahari Nyekundu
-
Mfalme Daudi aliwaweka rasmi wanaume 4,000 kuwa waimbaji na wanamuziki hekaluni
-
Yesu na mitume wake walimwimbia Yehova sifa usiku uliotangulia kifo chake
Nina fursa zipi za kumwimbia Yehova sifa?

