Kiswahili
Ratiba ya Agosti 14-20, 2017 ya Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png

Agosti 14-20

EZEKIELI 32-​34

Agosti 14-20
  • Wimbo 60 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mlinzi Ana Daraka Zito”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 33:​32, 33​—Kwa nini tunapaswa kuendelea kuhubiri licha ya ubaridi? (w91 3/15 17 ¶16-​17)

    • Eze 34:23​—Mstari huu umetimizwaje? (w07 4/1 26 ¶3)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 32:​1-16

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.4 jalada​—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.4 jalada​—Mkaribishe kwenye mikutano.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 2 ¶9-10​—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.

MAISHA YA MKRISTO