Daudi Alimngojea Yehova
Chunguza jinsi Daudi alivyojifunza kumngojea Yehova asahihishe ukosefu wa haki aliokabili. Usomaji unategemea 1 Samweli 24:2-15; 25:1-35; 26:2-12; Zaburi 37:1-7
Huenda Ukapenda Pia
MASOMO UNAYOWEZA KUJIFUNZA KATIKA BIBLIA
Daudi na Sauli
Kwa nini mwanamume mmoja alimchukia mwenzake, na yule aliyechukiwa alitendaje?
IGENI IMANI YAO
Abigaili—Alitenda kwa Busara
Tunaweza kujifunza nini kutokana na ndoa ya Abigaili yenye matatizo?