ONYESHA Kitabu cha Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Ruthu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Ayubu Zaburi Methali Mhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Mathayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorintho 2 Wakorintho Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Wathesalonike 2 Wathesalonike 1 Timotheo 2 Timotheo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 Kitabu cha Pili cha Wafalme Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 Muhtasari wa Yaliyomo 1 Eliya atabiri kifo cha Ahazia (1-18) 2 Eliya apelekwa juu katika dhoruba ya upepo (1-18) Elisha apata vazi rasmi la Eliya (13, 14) Elisha ayaponya maji ya Yeriko (19-22) Dubu wawaua wavulana kutoka Betheli (23-25) 3 Yehoramu, mfalme wa Israeli (1-3) Wamoabu wawaasi Waisraeli (4-25) Wamoabu washindwa (26, 27) 4 Elisha afanya mafuta ya mjane yaongezeke (1-7) Ukarimu wa mwanamke Mshunamu (8-16) Mwanamke huyo athawabishwa kwa kupewa mwana; mwana huyo afa (17-31) Elisha amfufua mwana huyo (32-37) Elisha aufanya mchuzi unyweke (38-41) Elisha afanya mikate iongezeke (42-44) 5 Elisha amponya Naamani ukoma (1-19) Gehazi mwenye pupa apigwa na ukoma (20-27) 6 Elisha afanya shoka lielee (1-7) Elisha apambana na Wasiria (8-23) Macho ya mtumishi wa Elisha yafunguliwa (16, 17) Wasiria wapofushwa akili (18, 19) Njaa kali katika jiji lililozingirwa la Samaria (24-33) 7 Elisha atabiri mwisho wa njaa kali (1, 2) Chakula chapatikana katika kambi iliyoachwa ya Wasiria (3-15) Unabii wa Elisha watimizwa (16-20) 8 Mwanamke Mshunamu arudishiwa shamba lake (1-6) Elisha, Ben-hadadi, na Hazaeli (7-15) Yehoramu, mfalme wa Yuda (16-24) Ahazia, mfalme wa Yuda (25-29) 9 Yehu atiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli (1-13) Yehu amuua Yehoramu na Ahazia (14-29) Yezebeli auawa; mbwa wala maiti yake (30-37) 10 Yehu awaua watu wa nyumba ya Ahabu (1-17) Yehonadabu ajiunga na Yehu (15-17) Yehu awaua waabudu wa Baali (18-27) Maelezo kuhusu utawala wa Yehu (28-36) 11 Athalia aunyakua ufalme (1-3) Yehoashi awekwa kisiri kuwa mfalme (4-12) Athalia auawa (13-16) Mabadiliko yaliyofanywa na Yehoyada (17-21) 12 Yehoashi, mfalme wa Yuda (1-3) Yehoashi arekebisha hekalu (4-16) Wasiria wavamia (17, 18) Yehoashi auawa (19-21) 13 Yehoahazi, mfalme wa Israeli (1-9) Yehoashi, mfalme wa Israeli (10-13) Elisha apima bidii ya Yehoashi (14-19) Kifo cha Elisha; mifupa yake yamfufua mtu (20, 21) Unabii wa mwisho wa Elisha watimizwa (22-25) 14 Amazia, mfalme wa Yuda (1-6) Apigana vita na Waedomu na Waisraeli (7-14) Kifo cha Yehoashi wa Israeli (15, 16) Kifo cha Amazia (17-22) Yeroboamu wa Pili, mfalme wa Israeli (23-29) 15 Azaria, mfalme wa Yuda (1-7) Wafalme wa mwisho wa Israeli: Zekaria (8-12), Shalumu (13-16), Menahemu (17-22), Pekahia (23-26), Peka (27-31) Yothamu, mfalme wa Yuda (32-38) 16 Ahazi, mfalme wa Yuda (1-6) Ahazi awahonga Waashuru (7-9) Ahazi aiga madhabahu ya wapagani (10-18) Kifo cha Ahazi (19, 20) 17 Hoshea, mfalme wa Israeli (1-4) Kuanguka kwa Israeli (5, 6) Waisraeli wapelekwa uhamishoni kwa sababu ya uasi imani (7-23) Wageni waletwa katika majiji ya Samaria (24-26) Mchanganyiko wa dini katika Samaria (27-41) 18 Hezekia, mfalme wa Yuda (1-8) Maelezo kuhusu kuanguka kwa Israeli (9-12) Senakeribu avamia Yuda (13-18) Rabshake amdhihaki Yehova (19-37) 19 Hezekia amwomba Mungu msaada kupitia Isaya (1-7) Senakeribu alitisha jiji la Yerusalemu (8-13) Sala ya Hezekia (14-19) Isaya ampa Hezekia jibu kutoka kwa Mungu (20-34) Malaika awaua Waashuru 185,000 (35-37) 20 Hezekia awa mgonjwa kisha apona (1-11) Wajumbe kutoka Babiloni (12-19) Kifo cha Hezekia (20, 21) 21 Manase, mfalme wa Yuda; jinsi alivyomwaga damu (1-18) Jiji la Yerusalemu kuharibiwa (12-15) Amoni, mfalme wa Yuda (19-26) 22 Yosia, mfalme wa Yuda (1, 2) Maagizo ya kurekebisha hekalu (3-7) Kitabu cha Sheria chapatikana (8-13) Hulda atabiri msiba (14-20) 23 Yosia afanya mabadiliko (1-20) Pasaka yasherehekewa (21-23) Yosia afanya mabadiliko zaidi (24-27) Kifo cha Yosia (28-30) Yehoahazi, mfalme wa Yuda (31-33) Yehoyakimu, mfalme wa Yuda (34-37) 24 Uasi na kifo cha Yehoyakimu (1-7) Yehoyakini, mfalme wa Yuda (8, 9) Uhamisho wa kwanza wa kwenda Babiloni (10-17) Sedekia, mfalme wa Yuda; uasi wake (18-20) 25 Nebukadneza azingira Yerusalemu (1-7) Jiji la Yerusalemu laharibiwa pamoja na hekalu lake; uhamisho wa pili (8-21) Gedalia awekwa kuwa gavana (22-24) Gedalia auawa; watu wakimbilia Misri (25, 26) Yehoyakini aachiliwa huru Babiloni (27-30) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki 2 Wafalme—Yaliyomo BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017) 2 Wafalme—Yaliyomo Kiswahili 2 Wafalme—Yaliyomo https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/db96b1818f/images/syn_placeholder_sqr.png