Zaburi 134:1-3
Wimbo wa Mipando.
134 Mbarikini Yehova,+Ninyi nyote watumishi wa Yehova,+Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+
2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+
3 Yehova na awabariki kutoka Sayuni,+Yeye ambaye ni Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+