Zaburi 134:1-3

Wimbo wa Mipando. 134  Mbarikini Yehova,+Ninyi nyote watumishi wa Yehova,+Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+   Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+   Yehova na awabariki kutoka Sayuni,+Yeye ambaye ni Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+

Maelezo ya Chini