Zaburi 123:1-4

Wimbo wa Mipando. 123  Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+   Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+   Utuonyeshe kibali, Ee Yehova, utuonyeshe kibali;+Kwa maana tumeshiba sana dharau.+   Nafsi yetu imeshiba sana dhihaka ya wale wanaostarehe,+Dharau la wale wenye kiburi.+

Maelezo ya Chini