Zaburi 110:1-7
Ya Daudi. Muziki.
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:“Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+
4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+
5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+
6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+Atafanya maiti zijae.+Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+
7 Kutoka katika bonde la mto njiani atakunywa.+Ndiyo sababu atakiinua kichwa chake juu.+