Je, Biblia Ni Kitabu Chenye Rekodi ya Mawazo ya Mungu?

Je, Biblia Ni Kitabu Chenye Rekodi ya Mawazo ya Mungu?

Jibu la Biblia

 Waandikaji wengi wa Biblia wanasema kwamba Mungu aliwaongoza katika kuandika mambo waliyoandika. Ona mifano ifuatayo:

  •  Mfalme Daudi: “Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi, na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.”—2 Samweli 23:1, 2.

  •  Nabii Isaya: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, amesema hivi.”—Isaya 22:15.

  •  Mtume Yohana: “Ufunuo kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa.”—Ufunuo 1:1.