Kiswahili
Ndugu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Saba Gerezani—“Ameazimia Kuendelea Kuwa Mwaminifu”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/702025108/univ/art/702025108_univ_sqr_xl.jpg

OKTOBA 22, 2025
URUSI

Ndugu Samvel Babayan

Ndugu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Saba Gerezani—“Ameazimia Kuendelea Kuwa Mwaminifu”

Ndugu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Saba Gerezani—“Ameazimia Kuendelea Kuwa Mwaminifu”

Oktoba 17, 2025, Mahakama ya Wilaya ya Kirovskiy iliyo katika Eneo la Samara ilimhukumu Ndugu Samvel Babayan kifungo cha miaka saba gerezani. Bado yupo kizuizini.

Maelezo Mafupi Kumhusu

Tunafurahi kuwa sehemu ya watu wanaomtumaini Yehova na tuna uhakika kwamba hatatuacha kamwe.​—Zaburi 9:10.

a Makala hii ilipokuwa ikitayarishwa, Ndugu Babayan alikuwa kizuizini na haikuwezekana kupata maelezo yake ya kibinafsi.