OKTOBA 22, 2025
URUSI
Ndugu Samvel Babayan
Ndugu Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Saba Gerezani—“Ameazimia Kuendelea Kuwa Mwaminifu”
Oktoba 17, 2025, Mahakama ya Wilaya ya Kirovskiy iliyo katika Eneo la Samara ilimhukumu Ndugu Samvel Babayan kifungo cha miaka saba gerezani. Bado yupo kizuizini.
Maelezo Mafupi Kumhusu
Tunafurahi kuwa sehemu ya watu wanaomtumaini Yehova na tuna uhakika kwamba hatatuacha kamwe.—Zaburi 9:10.
a Makala hii ilipokuwa ikitayarishwa, Ndugu Babayan alikuwa kizuizini na haikuwezekana kupata maelezo yake ya kibinafsi.

