Namna ya Kutumia Broshua Hii

Broshua hii imetayarishwa kwa kusudi la kutoa funzo la Biblia. Namna gani inapaswa kutumiwa? Tunapendekeza programu inayofuata: Mwanzoni mwa kila somo, kuna maulizo. Kisha kila ulizo utakuta katika vibano-muviringo, namba za mafungu katika hayo majibu yanapatikana. Soma kwanza yale maulizo yote. Fikiri juu yayo. Kisha usome kila fungu, na utafute maandiko katika Biblia yako. Unapomaliza kusoma somo nzima, rudia tena kwenye yale maulizo na ujaribu kuyakumbuka majibu ya Biblia kwa kila ulizo. Utakapomaliza broshua yote, rudia tena nyuma na urudilie maulizo yote.
Namna ya kufungua lecteur d'écran
Ona mambo makubwa yaliyo ndani

