Namna ya kufungua lecteur d'écran

Ona mambo makubwa yaliyo ndani

Ona video zinazopatikana

Mashahidi wa Yehova

MWEZI WA 5 2013 MUNARA WA MULINZI

Mashahidi wa Yehova−Sisi Ni Nani?

Sisi tunatoka katika makabila mengi na luga nyingi, lakini tumeungana ili kufikia miradi ile ile. Kusudi letu kubwa ni kumuheshimu Yehova, Mungu aliyeandikisha Biblia na aliyeumba vitu vyote. Tunajikaza kumuiga Yesu Kristo na tunafurahia sana kuitwa Wakristo. Kila mumoja wetu anatumia wakati wake ili kuwasaidia watu wajifunze Biblia na Ufalme wa Mungu. Kwa kuwa tunatoa ushahidi, ao tunazungumuza na watu kuhusu Yehova Mungu na Ufalme wake, tunaitwa Mashahidi wa Yehova.

Fungua adresi yetu. Soma Biblia kwenye Internete. Jifunze mengi kutuhusu na kuhusu mambo tunayoamini.

 

Omba Funzo la Biblia

Jifunze bila malipo habari za Biblia wakati unaokufaa na mahali panapokufaa.

Vichapo Vinavyopatikana

Angalia habari mupya kwenye adresi yetu.

Video katika luga ya ishara

Jifunze Biblia kupitia video za luga ya ishara.

INGIA